Hala Fouad
Hala Fouad | |
---|---|
Amezaliwa | Hala Ahmed Fouad 26 Mei 1958 |
Amekufa | 10 Mei 1993 Cairo, Misri |
Kazi yake | Muigizaji |
Miaka ya kazi | 1960-1993 |
Ndoa | Ahmed Zaki, Ezzeddine Barakat |
Watoto | Wawili akiwemo Haitham Ahmed Zaki |
Hala Ahmed Fouad (26 Machi 1958 - 10 Mei 1993) alikuwa mwigizaji wa filamu na televisheni wa Misri ambaye alifanya kazi zaidi katika sinema ya Misri. [1]
Wasifu[hariri | hariri chanzo]
Alihitimu kutoka kitivo cha biashara mnamo mwaka 1979. Baba yake Ahmed Fouad alikuwa mtengenezaji wa filamu. Aliolewa na mwigizaji mkongwe Ahmed Zaki mnamo mwaka wa 1984. Mwanawe wa kwanza Haitham Ahmed Zaki pia alikuwa mwigizaji wa filamu ambaye alifariki tarehe 7 Novemba 2019. [2] Baadaye, aliolewa na Ezzeddine Barakat na kupata mtoto mwingine wa kiume, Rami [3]
Hala alikufa tarehe 10 Mei 1993, pia akiwa na umri wa miaka 35 baada ya kupambana na saratani ya matiti. [4]
Filamu[hariri | hariri chanzo]
- Regal fi el Masyada (1971)
- Al Hedek Yefham (1985)
- Al Awbash (1985)
- Al Sadah Al Rejal (1987)
- Ashwami (1987)
- Haret El Gohary (1987)
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
media kuhusu Hala Fouad pa Wikimedia Commons
- Hala Fouad at the Internet Movie Database
Marejeleo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Death anniversary, Hala Fouad (2015-12-01). Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-11-07. Iliwekwa mnamo 2021-10-30.
- ↑ Actor Haitham, son of film star Ahmed Zaki, died at the age of 35.
- ↑ أول تصريح من شقيق هيثم زكي: كنت دائم التواصل معه وأخطط لحضور العزاء (Arabic) (7 November 2019).
- ↑ This is why Ahmed Zaki tried committing suicide in 1993 (en).
![]() |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Hala Fouad kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |