Gumbati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gumbati, O.S.B. (kwa Kijerumani: Guntbert, Kunibert; alifariki Ansbach, leo nchini Ujerumani, 11 Machi 795) alikuwa kijana wa ukoo bora ambaye, kwa uongozi wa askofu Burkado wa Wurzburg, mwaka 748 hivi alitawa na kuanzisha monasteri aliyoiongoza kama abati hadi kifo chake [1].

Tangu kale anaheshimiwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.