Gonda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gonda
Gonda milia (Trachylepis striata)
Gonda milia (Trachylepis striata)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Reptilia (Wanyama wenye damu baridi na magamba ngozini)
Oda: Squamata (Mijusi, mijusi-nyungunyungu na nyoka)
Nusuoda: Lacertilia (Mijusi)
Familia ya juu: Scincoidea (Mijusi kama mijusi-islam)
Familia: Scincidae (Mijusi walio na mnasaba na mijusi-islam)
Nusufamilia: Lygosominae
Jenasi: Trachylepis
Ngazi za chini

Spishi 82:

Magonda ni mijusi-islam wa jenasi Trachylepis katika familia Scincidae. Spishi hizi ni mijusi-islam wa kimsingi wenye kope zinazoweza kusogea, matundu ya masikio yanayoonekana vizuri na mkia mrefu kuliko mwili. Miguu imekua vizuri na inabeba vidole vitano. Ngozi ni laini na inang'aa.

Mijusi hawa ni wafupi (sm 8-15) hadi warefu kiasi (sm 22-30); urefu mkubwa ni sm 35. Rangi yao ni kijivu au kahawia na pengine rangi nyingine kama nyekundu na buluu.

Huishi kati ya mawe, nyasi au matete au juu ya miti na vichaka. Chakula chao ni wadudu na invertebrata wengine.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]


Picha[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gonda kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.