Nenda kwa yaliyomo

Gigabaiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Diski kuu ya gigabaiti 500.

Katika utarakilishi, gigabaiti (kwa Kiingereza: gigabyte; kifupi: "GB") ni kipimo cha taarifa ya tarakimu.

Kiambishi awali "giga" kinamaanisha 109 katika vipimo sanifu vya kimataifa. Kwa hiyo, gigabaiti moja ni baiti bilioni moja.

Baiti
Kilobaiti Megabaiti Gigabaiti Terabaiti Petabaiti Eksabaiti Zetabaiti Yotabaiti Ronabaiti Kwetabaiti

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1). (Kiswahili)
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.