Gigabaiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Diski kuu ya gigabaiti 500.

Katika utarakilishi, gigabaiti (kwa Kiingereza: gigabyte; kifupi: "GB") ni kipimo cha taarifa ya tarakimu.

Kiambishi awali "giga" kinamaanisha 109 katika Vipimo sanifu vya kimataifa. Kwa hiyo, gigabaiti moja ni baiti bilioni moja.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).