Gervasi na Protasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Wat. Gervasi na Protasi. Mchoro mdogo wa karne XIV.

Gervasi na Protasi (walifariki Milano, Italia, karne ya 2 au ya 3) walikuwa ndugu pacha waliouawa kutokana na imani yao ya Kikristo wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Masalia yao waligunduliwa na Ambrosi na kuhamishiwa naye katika basilika alilolijenga.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 19 Juni[2] au 14 Oktoba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.