Gerlako

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Gerlako akisali.

Gerlako (pia: Gerlach, Gerlache, Gerlac, Gerlachus; Houtem, leo nchini Uholanzi, 1100 hivi - Houtem, 1170 hivi) alikuwa mkaapweke karibu na Valkenburg, mkoa wa Limburg, aliyejulikana kwa jinsi alivyohudumia watu fukara[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.