Gabrieli Taurin Dufresse
Mandhari
Gabrieli Taurin Dufresse, M.E.P. (Ville-de-Lezoux, Ufaransa, 8 Desemba 1750 - Chengdu, Sichuan, 14 Septemba 1815) alikuwa askofu mmisionari wa Kanisa Katoliki nchini China aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa baada ya miaka 40 ya utume wenye bidii [1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Sikukuu yao ya pamoja huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake tarehe ya kifodini chake[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Wafiadini wa China
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |