G7

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kundi la nchi 7 na Umoja wa Ulaya
Nchi za G7 na Umoja wa Ulaya katika ramani ya dunia
Nchi za G7 na Umoja wa Ulaya katika ramani ya dunia

Bendera ya Kanada Canada
Waziri Mkuu Justin Trudeau
Bendera ya Ufaransa France
Rais Emmanuel Macron
Bendera ya Ujerumani Germany (2015 Chair)
Chansela Olaf Scholz
Bendera ya Italia Italy
Waziri Mkuu Matteo Renzi
Bendera ya Japani Japan
Waziri Mkuu Fumio Kishida
Bendera ya Ufalme wa Muungano United Kingdom
Waziri Mkuu Boris Johnson
Bendera ya Marekani United States
Rais Joe Biden
Bendera ya Umoja wa Ulaya European Union
Mwenyekiti wa Halmashauri Donald Tusk
Mwenyekiti wa Kamati Jean-Claude Juncker
Mkutano wa G7 wa mwaka 2008.

Kundi la G7 linaundwa na mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu wa nchi 7 zilizoendelea sana: Kanada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japani, Ufalme wa Muungano na Marekani ambao wanakutana ili kujadili hasa maswala ya uchumi. Umoja wa Ulaya pia unawakilishwa katika G7.

Nchi hizo zinaongoza kwa utajiri wa kitaifa, zikiwa na 64% ya utajiri wote duniani ($263 trilioni) kadiri ya Credit Suisse Global Wealth Report October 2014.[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Credit Suisse Global Wealth Databook 2013. Credit Suisse. October 2013. Archived from the original on 2015-02-09. Retrieved 2015-01-31. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: