Frambodi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Frambodi (pia: Framboldus, Frambold, Franbolt, Franbourd, Frambaud, Fraimbauld, Frambourg; Auvergne, 500 hivi - 15 Agosti 570) alikuwa mmonaki aliyeishi mara upwekeni mara pamoja na wafuasi aliowafundisha maisha ya kijumuia karibu na Le Mans, leo nchini Ufaransa[1].

Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Abbé Angot, « Notes sur saint Fraimbault », dans le Bulletin de la Commission historique et archéologique de la Mayenne, 1892 (t. IV), p. 56-64 [1][dead link]
  • Jean Jollain (1674) & Joseph Garin (1925), Le Patron d'Ivry-sur-Seine : Saint Frambour, sa vie (500-470), son culte à Ivry (600-1924), Librairie Victor Lecoffre, J. Gabalda éditeur, 1925.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.