Felisiani wa Karthago

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Felisiani wa Karthago (kwa Kilatini: Felicianus; alifia dini katika karne ya 3) alikuwa Mkristo wa Karthago (leo nchini Tunisia) ambaye aliuawa kwa imani yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Oktoba[1][2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.