Ewadi na Ewadi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Walivyochorwa mwaka 1400 huko Cologne.

Ewadi na Ewadi[1] (walifariki 692 hivi[2]) walikuwa wamonaki mapadri kutoka Northumbria (Uingereza) maarufu kwa umisionari wao kati ya Wasaksoni (Ujerumani ya leo) ulioendelea kwa miaka michache hadi walipofia dini ya Yesu Kristo.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 3 Oktoba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Both bore the same name, but were distinguished by the difference in the colour of their hair and complexions. Catholic Encyclopedia, Sts. Ewald, volume=5, by Columba Edmonds
  2. Staab, Franz (1988). "Die Gründung der Bistümer Erfurt, Büraburg und Würzburg durch Bonifatius im Rahmen der Fränkischen und Päpstlichen Politik". Archiv für Mittelrheinische Kirchengeschichte 40: 13–41; pp. 36–37. 
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.