Eusebia wa Hamay

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eusebia wa Hamay (637 - 660) alikuwa bikira ambaye, baada ya kufiwa baba yake alijiunga na monasteri ya Hamay pamoja na mama yake, Riktrude, akaja kuwa abesi wake akiwa na umri wa miaka kumi na miwili tu kufuatana na kifo cha bibi yake Getrude (649)[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu kama hao na ndugu zao wengi.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Adrien Baillet, Les vies des saints, Paris, Jean-Th.Herissant, 1739, tome 3, p. 208-210.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.