Eukari wa Trier
Mandhari

Eukari wa Trier (alifariki Trier, leo nchini Ujerumani, 250 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo[1][2][3].
Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Meier, Gabriel. "St. Eucharius", in Charles Herbermann (ed.) (1909). The Catholic Encyclopedia, Volume 5. New York: Robert Appleton Company.
- ↑ Saint Eucharius”. New Catholic Dictionary. CatholicSaints.Info. 8 December 2012
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/80770
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |