Etelwoldi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Etelvoldi)
Etelwoldi karibu na mfalme Edgar Mpendaamani.

Etelwoldi (jina asili: Æthelwold; Winchester, 904/909 - Beddington, Surrey, 1 Agosti 984) alikuwa mmonaki chini ya Dunstan wa Canterbury, halafu abati na hatimaye askofu wa Winchester, Uingereza, tangu mwaka 963 hadi kifo chake.

Pamoja na Dunstan na Oswadi wa York, alishughulikia urekebisho na uenezaji wa umonaki kaika kisiwa cha Britania. Kwa ajili hiyo alitafsiri kitabu maarufu "Concordia Monachorum"[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Browett, Rebecca (April 2016). "The Fate of Anglo-Saxon Saints after the Norman Conquest of England: Æthelwold of Winchester as a Case Study". History 101 (345): 183–200. 
  • Yorke, Barbara, ed. (1988). Bishop Æthelwold: His Career and Influence. The Boydell Press. ISBN 978-0-85115-705-4. 
  • Æthelwold of Winchester, The Old English Rule of St. Benedict with Related Old English Texts, translated by Jacob Riyeff (Kalamazoo, MI: Cistercian Publications, 2017)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.