Esuperi wa Bayeux

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Esuperi katika dirisha la kioo cha rangi.

Esuperi wa Bayeux (pia: Exuperius, Exupère, Spirius, Spire, Soupir, Soupierre; karne ya 4 - 405 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa mji [[Bayeux]|huo]][1], leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 390 hadi kifo chake [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Agosti[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/65190
  2. Henry Wace, A Dictionary of Christian Biography, Literature, Sects and Doctrines (1880), 439.
  3. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.