Embakomu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Embakomu (Abba 'Ěnbāqom; 1470 hivi - 1565 hivi) alikuwa kiongozi wa Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia,[1] tena mwandishi na mtafsiri wa vitabu [2], k.mf., wa Anqaṣa Amin.[3]

Kama abati wa monasteri muhimu ya Debre Libanos aliitwa Echage, cheo cha pili katika Kanisa hilo, na mkuu wa monasteri zote za Ethiopia, akatazamwa kama mtu mwenye athari kubwa zaidi katika Kanisa kwa sababu askofu alikuwa Mmisri[4], si mwenyeji kama kawaida ya Echage.[5][6][7]

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia na Kanisa la Kiorthodoksi la Eritrea kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Aprili.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. E. J. Donzel at 17-28, who references the Geez Gadl ["acts" or "struggles"] of Enbaqom per Lanfranco Ricci.
  2. Abba 'Ěnbāqom sought "to provide spiritual and intellectual leadership for the Ethiopian Church, and to translate works and ideas from the rest of Christendom, thus bringing a richer theology from abroad and higher standards of clerical education... ." Adrian Hastings at 147.
  3. E. J. Donzel at 29-43 (see Bibliography).
  4. The Abuna then by tradition was a Coptic priest of Egypt, chosen by the Patriarch in Cairo and sent to Ethiopia as its Abuna or Metropolitan, becoming head of the Ethiopian Church. Taddesse Tamrat at 107-108.
  5. Francisco Álvares at I: 262, note 2 by the editors Beckingham and Huntingford.
  6. Chris Prouty and Eugene Rosenfeld at 53.
  7. The Echage (or Etchegé or Ĕčägē) was "a position no other foreigner has held, before or since." David Buxton at 133.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo
  • E. A. Wallis Budge, The Book of the Saints of the Ethiopian Church (Cambridge 1928), 4 volumes; translation of the Synaxaire.
  • E. J. Van Donzel, 'Ěnbāqom, Anqaṣa Amin (La Porte de las Foi). Introduction, texte critique, traduction (Leiden: E. J. Brill 1969). The text of Enbaqom is at 165-263, with facing pages of Geez in its alphabet and the French translation; Van Donzel's introduction and scholarly apparatus are at 1-164 and 265-302.
  • Lanfraco Ricci, "La Vite di Enbaqom e di Yohannes, Abbati di Dabra Libanos di Scioa" in Ressagna di Studi Etiopici (Roma e Napoli), at 13: 91-120 (1954); 14: 69-107 (1959). This is a translation from the Geez of the Gadl [Acts or Struggles] of Enbaqom and of Yohannes, both Abbots at the Dabra Libanos monastery in Shewa.
  • Francisco Álvares, Verdadera Informaçam das terras do Preste Joam das Indias (Lisbon: Luís Rodrigues 1540), edited and translated as The Prester John of the Indies (Cambridge University for the Hakluyt Society 1961), two volumes. Here an 1881 English translation is revised, with commentary, and edited by C. F. Beckingham and G. W. B. Huntingford.
  • Galawdewos, "Confession of Faith" at 104-107 in J. M. Harden, An Introduction to Ethiopic Christian Literature (London: S.P.C.K. 1926).
Marejeo mengine
  • Enrico Cerulli, Storia della letteratura etiopica (Milan 1956).
  • Getachew Haile, "Enbaqom" in Biographical Dictionary of Christian Missions, edited by Gerald H. Anderson (Grand Rapids, Michigan: W. B. Eerdman's Publishing 1998).
  • Adrian Hastings, The Church in Africa, 1450-1950 (Oxford University Press 1994).
  • Richard Pankurst, "Abba 'Enbaqom, Iman Ahmad Ibn Ibrahim, and the Conquest of Ethiopia" Archived 17 Desemba 2019 at the Wayback Machine. in the Addis Triburne, November 25, 2003, reprinted by the Awdal News Network.
  • Taddesse Tamrat, Church and State in Ethiopia 1270-1527 (Oxford University: Clarendon Press 1972).
  • J. Spencer Trimingham, Islam in Ethiopia (Oxford University 1952); reprint: Frank Cass, London, 1965.
Marejeo mengine tena
  • David Buxton, The Abyssinians (New York: Praeger, 1970).
  • Chris Prouty and Eugene Rosenfeld, Historical Dictionary of Ethiopia (Metuchen NJ: The Scarecrow Press 1981).
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.