Ekembodo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake katika kanisa kuu la Saint-Omer.

Ekembodo (alifariki Therouanne, Ufaransa wa leo, 742) alikuwa mmonaki, labda kutoka Ireland, aliyejiunga na monasteri ya Sithiu chini ya Bertino wa Sithieu akawa abati wake miaka 10 baadaye. Halafu alichaguliwa kuwa askofu wa Therouanne huo akaongoza jimbo hilo pana kwa miaka 26 bila kuacha uabati[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Aprili[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.