Donino wa Fidenza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Donino alivyochorwa na Cristoforo Savolini, kati ya Karolo Borromeo na Apolonia.

Donino wa Fidenza (Parma, karne ya 3 - Fidenza, 304 hivi) alikuwa Mkristo wa Italia Kaskazini aliyeuawa kwa imani yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma [1][2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Oktoba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90229
  2. His legend states that Domninus was Chamberlain to Emperor Maximian and keeper of the royal crown, and converted to Christianity, thereby incurring the emperor's wrath. Pursued by imperial forces, he rode through Piacenza holding a cross. He was caught and beheaded on the banks of the Stirone, outside of Fidenza, or the Via Aemilia. It is recounted that Domninus picked up his severed head and placed it on the future site of the cathedral of San Donnino.
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.