Didimo wa Ankara
Mandhari

Didimo wa Ankara (pia: Gemellus; alifariki Ancyra, leo Ankara, nchini Uturuki, 362 hivi) alikuwa Mkristo wa Paflagonia[1] katika Dola la Roma aliyefia imani yake wakati wa kaisari Juliani Mwasi, inasemekana kwa kusulubiwa[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Desemba.[4]
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Sir William Smith, A dictionary of christian biography, literature, sects and doctrines: being a continuation of "The dictionary of the Bible", Volume 1 (Little, Brown & Co., 1880), 623.
- ↑ Michael Walsh, A New Dictionary of Saints: East and West (Liturgical Press, 2007), 222.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/80920
- ↑ Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |