Darfur Kusini
Mandhari

11°31′N 25°2′E / 11.517°N 25.033°E

Darfur Kusini (kwa Kiarabu: جنوب دارفور, Janob Darfor) ni moja kati ya majimbo 18 ya Sudan[1][2]. Ni mojawapo ya majimbo matano yanayojumuisha eneo la Darfur lililo magharibi mwa Sudan. Lina ukubwa wa eneo la kilomita mraba 127,300 na idadi ya watu inayokadiriwa kuwa 5,353,025 (2018).[3][4] Nyala ndio mji mkuu wake.
Historia
[hariri | hariri chanzo]
Historia ya Darfur Kusini ni sawa na ile ya Darfur nzima.[5]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "South Darfur governor sacks 70 tribal leaders over alleged RSF ties". Sudan Tribune. 18 Novemba 2024.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Archived copy" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2017-03-12. Iliwekwa mnamo 2023-06-09.
{{cite web}}: CS1 maint: archived copy as title (link) - ↑ Government of South Darfur
- ↑ State profile
- ↑ "Sub-national HDI - Area Database - Global Data Lab". hdi.globaldatalab.org (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2018-09-13.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Sudan bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Darfur Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |