Danilo II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Danilo II katika mchoro wa ukutani, Monasteri ya Peć.

Danilo II (kwa Kiserbia: Данило II) alikuwa askofu mkuu wa Waserbia miaka 1324-1337.

Akiwa kwanza mmonaki, aliandika kumbukumbu za watu na matukio mbalimbali ambazo ni kati ya maandishi muhimu ya Kiserbia.

Anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Archbishop Danilo II; Đura Daničić (1866). Životi kraljeva i arhiepiskopa srpskih (kwa Kiserbia). US. Galca. 
  • "Архиепископ Данило II и његово доба". Међународни научни скуп поводом 650 година од смрти (kwa Kiserbia) (Belgrade: САНУ). December 1987.  Check date values in: |date= (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.