Mboga (mmea)
Mandhari
(Elekezwa kutoka Coccinia)
| Mboga | ||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mboga-refu (Cucurbita moschata) | ||||||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Miboga, pia milenge, ni mimea ya familia Cucurbitaceae kwenye jenasi Cucurbita, Momordica na Coccinia. Hukuzwa sana duniani kokote kwa ajili ya matunda yao makubwa yanayoitwa maboga.
Spishi zinazokuzwa katika Afrika
[hariri | hariri chanzo]- Coccinia grandis, Mboga-mwitu au Mruho (Ivy gourd)
- Cucurbita maxima, Mboga-kubwa au Mlenge (Cucurbita maxima)
- Cucurbita moschata, Mboga-refu, unatimiza Mboga-chupa (Cucurbita moschata)
- Cucurbita pepo, Mboga wa Kawaida au Mlenge, unatimiza Mboga-dogo na Mboga-jeupe (Cucurbita pepo)
- Momordica charantia, Mboga-chungu, Mtango-chungu au Mkarela (Bitter gourd)
Picha
[hariri | hariri chanzo]- Mrihu (mboga-mwitu)
- Mboga-kubwa
- Mboga-refu
- Mboga-chupa
- Mlenge
- Maboga meupe
- Mboga-dogo
- Mkarela (mboga-chungu)