Christine Gabriel Ishengoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Christine Gabriel Ishengoma (amezaliwa 21 Juni 1953) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 20152020. [1]

Amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kama Mkuu wa Mkoa katika mikoa mbalimbali kama Iringa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017