Children and Youth Voice Coalition

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vijana wa CYVC katika moja ya semina za Mafunzo mkoani Kilimanjaro

Children and Youth Voice Coalition (kifupi: CYVC) ni asasi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa kwa malengo ya kufanya kazi na Vijana pamoja na watoto.

Shirika hili lina makao yake makuu katika mkoa wa Arusha, likiwa linafanya kazi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro na Tanga

Maono[hariri | hariri chanzo]

Kukuza na kutangaza haki za watoto, pamoja na kuongeza ujuzi wa kimtaala kwa vijana ili kufikia Malengo endelevu.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]