Chang'aa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chang'aa ikiwa inatengenezwa

Chang'aa ni pombe ya gongo, ambayo nchini Kenya ni maarufu kwa jina hilo. Kutokana na ukali wake, ni kinyume cha sheria kuitengeneza, kuiuza au kuitumia.

Pombe hii hutengenezwa na mchanganyiko wa mapapai yaliyooza, hamira, sukari aina ya 'molasses', na maji. Pia mahindi na mtama unaweza kuvitumia.

Namna ya kutumia mahindi ama mtama ni: unachukua mbegu za mtama ama mahindi, unazianika mpaka zinakauka kabisa, baada ya kuzikausha unazilowesha ndani ya maji kwa usiku mmoja, kisha unazitia ndani ya gunia ziweze kumwaga maji na zijamineti, baada ya kujamineti unazianika tena mpaka zikauke, halafu unazitia ndani ya mtungi kwa vipimo yaani mikebe mitatu na mkebe wa kupimia ni mkebe wa kilo moja. Halafu unaweka yaliyobaki baada ya kupika na kutoa pombe.

Unaweka lita tatu, halafu unaziweka kwa siku mbili ama tatu, ukizidisha zinaweza kuharibika, baada ya zile siku unakemba yale maji na kuacha mtama ama mahindi ndani ya mtungi, kisha uweke lita tatu kwa mtungi wa

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chang'aa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.