Bernodi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Bernodi.

Bernodi (pia: Bernold, Bernulf, Benno au Bernulphus; alifariki Utrecht, leo nchini Uholanzi, 19 Julai 1054) alikuwa askofu wa mji huo tangu mwaka 1027 hivi.

Alikomboa makanisa na monasteri kutoka mamlaka ya watawala, aliyanzisha makanisa mapya mengi na kufanya monasteri zifuate urekebisho wa Cluny [1].

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu[2].

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 19 Julai[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

  • "Bernulf“ in: Allgemeine Deutsche Biographie, herausgegeben von der Historischen Kommission bei der Bayrischen Akademie der Wissenschaften, Band 2 (1875), Page 505, Digital version at German language Wikisource (Version of 20 July 2008, 02:38 UTC)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.