Nenda kwa yaliyomo

Bernardo wa Rodez

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Bernardo wa Rodez (Rodez, Akwitania, leo nchini Ufaransa, 940 hivi - Montsalvy, 1110) alikuwa abati wa Wakanoni Waregulari wa monasteri ya Montsalvy kwa zaidi ya miaka 30 baada ya mwalimu wake Gosbati [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Novemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.