Nenda kwa yaliyomo

Baudolino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Baudolino alivyochorwa amevaa kiaskofu, kinyume cha ukweli.

Baudolino (pia: Baudilio; Villa del Foro, Alessandria, 700 hivi – Villa del Foro, 740 hivi) alikuwa mkaapweke huko Italia Kaskazini [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Novemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.