Aventino wa Larboust

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Aventino wa Larboust (Bagnères-de-Luchon, 780 hivi - Saint-Aventin, 13 Juni karne ya 8) alikuwa mkaapweke katika bonde la Larboust, kwenye milima ya Pirenei, kusini mwa Ufaransa, hadi alipouawa na Waislamu[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 13 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Paul Guérin et François Giry, « 13 juin : saint Aventin, apôtre de la Gascogne et martyr », dans Les petits Bollandistes Vies des saints de l'Ancien et du Nouveau Testament : Du 19 mai au 13 juin, t. 6, Bloud et Barral libraires-éditeurs, 1882, 654+VIII, p. 607-611
  • Notice historique sur Saint-Aventin d'Aquitaine, martyr, par un prêtre du diocèse, Toulouse, Bon et Privat, 1850 ; rééd. Montréjeau, imp. Fabbro, 1988
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.