Artsakh

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nagorno-Karabakh 2020.

Artsakh ilikuwa nchi isiyotambuliwa na mataifa mengine [1] kama nchi huru kwenye milima ya Kaukazi kusini.

Mwaka 2020 vita vilizuka tena na kumalizika kwa Azerbaijan kutwaa sehemu kubwa ya eneo hilo la kwake kisheria. Kabla ya vita hivyo, eneo lake lilikuwa la km² 11,458, lililokaliwa na wakazi 150,000 hivi, wengi wao wakiwa Waarmenia.

Mwaka 2023 Azerbaijian imeteka nchi nzima, wakazi karibu wote wamehamia haraka Armenia na aliyekuwa rais ametangaza rasmi miundo yote ya jamhuri itakoma tarehe 1 Januari 2024.

Mji mkuu uikuwa Stepanakert.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. isipokuwa matatu ambayo pia hayatambuliki kimataifa.
Nchi na maeneo ya Asia

Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iraq | Israel | Jamhuri ya China (Taiwan) | Japani | Kamboja | Kazakhstan | Kirgizia | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanoni | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapuri | Sri Lanka | Syria | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Uajemi | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani

1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China.


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Artsakh kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Artsakh kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.