Armando Guebuza
Mandhari
Armando Guebuza | |
![]() Armando Guebuza, 2012 | |
Muda wa Utawala 2 Februari 2005 – 15 Januari 2015 | |
Waziri Mkuu | Luisa Diogo Aires Ali Alberto Vaquina |
---|---|
mtangulizi | Joaquim Chissano |
aliyemfuata | Filipe Nyusi |
tarehe ya kuzaliwa | 20 Januari 1943 Murrupula (sasa Msumbiji) |
chama | FRELIMO |
ndoa | Maria da Luz Guebuza |
watoto | 5 |
Military service | |
Nickname(s) | Four by Four Mr Guebusiness |
Allegiance | FRELIMO |
Service/branch | Mrengo wa kijeshi |
Rank | Mkuu |
Battles/wars | Vita vya Uhuru vya Msumbiji |
Armando Guebuza (alizaliwa Murrupala katika jimbo la Nampula, Msumbiji, 20 Januari 1943) alikuwa rais wa Msumbiji katika miaka 2005-2015.
Katika vita vya uhuru dhidi ya Ureno alikuwa kiongozi na jenerali muhimu wa chama cha FRELIMO ambacho alijiunga nacho akiwa na umri wa miaka 20.
Kwa ufupi baada ya uhuru akawa waziri katika serikali ya Samora Machel na hatimaye rais.
Mnamo Agosti 2021, mtoto wake Ndambi Guebuza alihukumiwa kwa ufisadi.
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Armando Guebuza kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |