Apenini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hifadhi ya taifa ya Milima Sibilini (mikoa ya Marche na Umbria)
Corno Grande.
Monte Vettore.

Apenini (kwa Kiitalia: Appennini) ni safu ya milima inayounda uti wa mgongo wa rasi ya Italia kwa urefu wa km 1,200 na upana hadi km 250.

Kwa kiasi kikubwa ni ya kijani, isipokuwa kwenye barafuto ya kilele kirefu zaidi, Corno Grande (mita 2,912 juu ya usawa wa bahari).[1].

Vilele vingine 20, hasa vya Apenini ya Kati, vina kimo cha walau mita 1,900.

Jina Urefu
Corno Grande
(Gran Sasso d'Italia)
2,912 m (9,554 ft)
Monte Amaro
(Majella)
2,793 m (9,163 ft)
Monte Velino 2,486 m (8,156 ft)
Monte Vettore 2,476 m (8,123 ft)
Pizzo di Sevo 2,419 m (7,936 ft)
Monte Meta 2,241 m (7,352 ft)
Monte Terminillo 2,217 m (7,274 ft)
Monte Sibilla 2,173 m (7,129 ft)
Monte Cimone 2,165 m (7,103 ft)
Monte Cusna 2,121 m (6,959 ft)
Montagne del Morrone 2,061 m (6,762 ft)
Monte Prado 2,053 m (6,736 ft)
Monte Miletto 2,050 m (6,730 ft)
Alpe di Succiso 2,017 m (6,617 ft)
Monte Pisanino 1,946 m (6,385 ft)
Corno alle Scale 1,915 m (6,283 ft)
Monte Alto 1,904 m (6,247 ft)
La Nuda 1,894 m (6,214 ft)
Monte Maggio 1,853 m (6,079 ft)
Monte Maggiorasca 1,799 m (5,902 ft)
Monte Giovarello 1,760 m (5,770 ft)
Monte Catria 1,701 m (5,581 ft)
Monte Gottero 1,640 m (5,380 ft)
Monte Pennino 1,560 m (5,120 ft)
Monte Nerone 1,525 m (5,003 ft)
Monte Fumaiolo 1,407 m (4,616 ft)

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Apenini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.