Monte Fumaiolo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chanzo cha mto Tiber katika mlima wa Monte Fumaiolo

Monte Fumaiolo ni mlima wa Apenini katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini). Unajulikana hasa kwa chanzo cha mto Tiber kilichotoka mlimani.

Urefu wake ni mita 1,407 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]