Antoni wa Lerins
Mandhari

Antoni wa Lerins (Hungaria, 468 hivi - Lerins, leo nchini Ufaransa, 520 hivi) alikuwa mmonaki maarufu kwa utakatifu na miujiza yake.
Baada ya kulelewa na Severino wa Noriko, alipofikia umri wa miaka 20 alijiunga na monasteri huko Ujerumani[1][2], halafu akawa mkaapweke katika Italia Kaskazini.
Kwa kuwa alizidi kupata wafuasi na heshima kutokana na adabu na ujuzi wake, miaka miwili kabla hajafa alihamia Lerins ili kupata faragha aliyoitamani[3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 28 Desemba[5].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Catholic Online". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-09-28. Iliwekwa mnamo 2020-12-20.
- ↑ "Catholic Courier". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-11-25. Iliwekwa mnamo 2020-12-20.
- ↑ Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/83320
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |