Ansgar Mtakatifu
Mandhari

Mtakatifu Ansgar (Amiens, Ufaransa, labda 8 Septemba 801 – Bremen, Ujerumani, 3 Februari 865) alikuwa askofu mmisionari huko Skandinavia.
Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake ni 3 Februari[1].
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Ansgar alijiunga na monasteri huko Corbie.
Mwaka 826 alikwenda kuhubiri Injili nchini Denmark, ambako hakufanikisha sana, hivyo akaenda Uswidi.
Alikuwa askofu wa Hamburg, halafu akaongezewa Bremen pia, upande wa kaskazini wa Ujerumani. Ndipo alipofariki kutokana na uchovu wa kazi zake, Pia alikuwa balozi wa Papa Gregori IV katika Denmark na Uswidi[2].
Alivumilia magumu mengi sana katika kazi ya uenezaji Injili, asikate tamaa.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 44-45
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- Pryce, Mark. Literary Companion to the Festivals: A Poetic Gathering to Accompany Liturgical Celebrations of Commemorations and Festivals. Minneapolis: Fortress Press, 2003.
- Tschan, Francis J. History of the Archbishops of Hamburg-Bremen. New York: Columbia University Press, 1959.
- Wood, Ian. The Missionary Life: Saints and the Evangelisation of Europe, 400 – 1050. Great Britain: Longman, 2001.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Ansgar at Birka History of Birka Ilihifadhiwa 9 Machi 2000 kwenye Wayback Machine.
- Vita Ansgari, English translation from Medieval sourcebook Ilihifadhiwa 8 Novemba 2014 kwenye Wayback Machine.
- German History Forum Ilihifadhiwa 2 Novemba 2005 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |