Anouman Brou Félix
Mandhari
Anouman Brou Félix | |
Amezaliwa | 5 Februari 1935 Adzopé |
---|---|
Nchi | Ivory Coast |
Kazi yake | mpiga gitaa na alikua mtengeneza mavazi kabla ya gitaa |
Anouman Brou Félix (5 Februari 1935 - 3 Oktoba 2021) alikuwa mpiga gitaa wa nchini Ivory Coast.[1] Alikuwa mmoja wa waanzilishi wa muziki wa Attie na akaunda ngoma ya Wamy mnamo 1970.[2]
Wasifu
[hariri | hariri chanzo]Mzaliwa wa Adzopé 1935, wazazi wa Félix walifariki 1946. Aliondoka kuelekea Abidjan ambako aligundua utengenezaji wa mavazi kabla ya kujifunza gitaa.[1] Katika miaka ya 1960, alianzisha kikundi cha Ivoiry Band na kuanzisha ngoma Wamy akiwa Ufaransa.[3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ 1.0 1.1 "Ancienne gloire de la musique ivoirienne: Anoman Brou Felix se meurt". Abidjan.net (kwa French). 2 Januari 2012. Iliwekwa mnamo 4 October 2021.
{{cite news}}
: Check date values in:|date=
(help)CS1 maint: unrecognized language (link) - ↑ "Prix d'Excellence 2013 : Anoma Brou Félix et Bamba Bakary faits Commandeurs de l'ordre du mérite…". Abidjan.net (kwa French). 8 Agosti 2013. Iliwekwa mnamo 4 October 2021.
{{cite news}}
: Check date values in:|date=
(help)CS1 maint: unrecognized language (link) - ↑ Seck, Nago (14 Septemba 2012). "Anoman Brouh Félix". Afrisson (kwa French). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 21 Januari 2020. Iliwekwa mnamo 4 Oktoba 2021.
{{cite news}}
: Check date values in:|access-date=
,|date=
, na|archivedate=
(help)CS1 maint: unrecognized language (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Anouman Brou Félix kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |