Angelo Rovati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Angelo Rovati (Monza, 3 Desemba 1945Milano, 19 Aprili 2013) alikuwa mchezaji wa mpira wa kikapu, meneja wa michezo na mwanasiasa wa Italia.

Alikuwa mmoja wa washauri wa Romano Prodi katika ofisi ya rais wa Baraza la Mawaziri nchini, wakati wa serikali ya pili ya Prodi.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Angelo Rovati kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.