Nenda kwa yaliyomo

Anemondi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Anemondi, Lyon.

Anemondi (pia: Annemund, Annemundus, Aunemundus, Ennemond au Chamond; alifariki 657[1]/658) alikuwa askofu mkuu wa mji huo, leo nchini Ufaransa [2] kuanzia mwaka 642/644[3][4] hadi kifodini chake[5][6].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[7][8][9].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Septemba[10].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Archdiocese of Lyon, France at Catholic Saints.info.
  2. Lyon. at GCatholic.org.
  3. Lyon. at GCatholic.org.
  4. David M. Cheney, Archdiocese of Lyon at catholic-hierarchy.org.
  5. Hunt, William. "Wilfrid", DCB, Vol. XXI, (Sidney Lee, ed.), London, Macmillan, 1909
  6. http://www.santiebeati.it/dettaglio/72340
  7. Références sur Ennemond sur le site du musée diocèse de Lyon.
  8. A. COVILLE, L’Evêque Aunemundus et son Testament, Revue d'histoire de Lyon, tome 1, 1902, p. 353-372 & p. 465-456
  9. James Condamin, Saint Ennemond, évêque de Lyon : sa vie et son culte, 1876.
  10. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.