Anatoli wa Konstantinopoli
Mandhari

Anatoli wa Konstantinopoli (Aleksandria, Misri, karne ya 4 - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 3 Julai 458) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 449 hadi kifo chake.
Baada ya kukiri imani sahihi kadiri ya barua ya Papa Leo I kwa Flaviano katika Mtaguso wa Efeso (431)[1], alifanya ithibitishwe na Mtaguso wa Kalsedonia (451)[2].
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu kale kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Meyendorff, John (1989). Imperial unity and Christian divisions: The Church 450-680 A.D. The Church in history. Juz. la 2. Crestwood, NY: St. Vladimir's Seminary Press. ISBN 978-0-88-141056-3.
- "Lives of the Saints," Omer Englebert, New York: Barnes & Noble Books, 1994, pp 532, ISBN 1-56619-516-0 (casebound)
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St Anatolius, Patriarch of Constantinople Orthodox icon and synaxarion
- Christian Classics Ethereal Library: Dictionary of Christian Biography and Literature to the End of the Sixth Century A.D., with an Account of the Principal Sects and Heresies
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |