Albino wa Lyon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Albino wa Lyon (alifariki 395 hivi) alikuwa askofu mkuu wa 14 wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kwa miaka 10 hivi baada ya Yusto wa Lyon kung'atuka [1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4][5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Septemba[6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Guillaume Paradin , Memoires De L'Histoire De Lyon (By Antoine Gryphius, 1573)
  2. Étienne Joseph Poullin de Lumina (1770). Histoire de l'église de Lyon [Church history of Lyon] (kwa Kifaransa). Joseph-Louis Berthoud. 
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/70290
  4. Dictionnaire d'archéologie chrétienne et de liturgie, X/1, col. 193.
  5. (Kilatini) Giovanni Battista de Rossi e Louis Duchesne, Martyrologium Hieronymianum, in Acta Sanctorum Novembris, II (1894), p. [121].
  6. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.