Air Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Air Tanzania
IATA
TC
ICAO
ATC
Callsign
TANZANIA
Kimeanzishwa 1977
Vituo vikuu Julius Nyerere International Airport
Ndege zake 3
Shabaha
Nembo Wings of Kilimanjaro
Kampuni mama Serikali ya Tanzania
Makao makuu Dar es Salaam, Tanzania
Watu wakuu David Mattaka (MD), (CEO)
Tovuti http://www.airtanzania.com

Air Tanzania ni kampuni ya ndege ya taifa la Tanzania.

Shirika la Ndege la Tanzania linahudumia vituo kumi na tatu - kumi na viwili ndani ya nchi na kimoja cha kimataifa.

Dar es Salaam hutumika kama kiungio cha safari za anga kati ya viwanja vya ndege vya Entebbe, Hahaya, Johannesburg, Mwanza, Kilimanjaro, Mtwara, Zanzibar, n.k.

Hivyo ndege zote za Air Tanzania hutua Dar es Salaam na zinafungwa huko.

Pichɑ[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Air Tanzania kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.