1066
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 10 |
Karne ya 11
| Karne ya 12
| ►
◄ |
Miaka ya 1030 |
Miaka ya 1040 |
Miaka ya 1050 |
Miaka ya 1060
| Miaka ya 1070
| Miaka ya 1080
| Miaka ya 1090
| ►
◄◄ |
◄ |
1062 |
1063 |
1064 |
1065 |
1066
| 1067
| 1068
| 1069
| 1070
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1066 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/96/Bayeux_Tapestry_WillelmDux.jpg/300px-Bayeux_Tapestry_WillelmDux.jpg)
Ulaya - Uingereza:
- 25 Septemba - Mapigano kwa daraja la Stamford (Uingereza): Mfalme Harold wa Uingereza anazuia jaribio la Waviking Wanorway la kuvamia Uingereza. Jeshi la Uingereza laelekea mara moja kwa mbio kusini dhidi ya Wanormandy.
- 14 Oktoba - Mapigano ya Hastings; jeshi lililochoka la Uingereza linashindwa na Wanormandy chini ya William Mshindi. Uingereza unatekwa na Wanormandy.
- 25 Desemba - William Mshindi wa Normandy anapokea cheo cha mfalme wa Uingereza.
Afrika:
Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
- Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
- Kali Yuga | 5126 – 5127 |
Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 5 Januari - Edward Muungamaji (Mfalme wa Uingereza, na Mtakatifu)
- 25 Septemba - Mfalme Harald III wa Norway kwenye mapigano kwa daraja la Stamford
- 14 Oktoba - Mfalme Harold wa Uingereza kwenye mapigano ya Hastings