Suzana wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Suzana katika kanisa kuu la Santiago de Compostela.

Suzana wa Roma (kwa Kilatini: Susana) alikuwa mwanamke Mkristo aliyefia dini yake katika karne ya 3[1].

Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Katika karne ya 6 basilika lenye jina lake liliwekwa wakfu kwa Mungu mjini Roma karibu na Mabafu ya Dyoklesiano[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Agosti[3][4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Monks of Ramsgate. “Susanna”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 10 August 2016
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/65850
  3. Martyrologium Romanum, Libreria Editrice Vaticana, 2001 ISBN|88-209-7210-7
  4. The commemoration of her that was included in the General Roman Calendar was removed in 1969 because of the legendary character of the Acts of her martyrdom. Calendarium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 1969), p. 134

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.