Sipriani Iwene Tansi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi.

Sipriani Iwene Tansi, O.C.S.O. (Igboezunu, Onitsha, Nigeria, 1903 - Leicester, Uingereza, 20 Januari 1964) alikuwa padri mmonaki.

Anaheshimiwa na Wakatoliki kama mwenyeheri, wa kwanza kutoka Nigeria, tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 22 Machi 1998.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Januari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.