Piramidi za Giza
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Piramidi ya Giza: upande wa kushuto piramidi ya Mykerinos, katikati ya Khefren na kulia ya Cheops
Piramidi za Giza ni kati ya majengo yanayojulikana zaidi duniani. Ziko kando la bonde la Nile karibu na mji wa Giza takriban 15 km kutoka Kairo katika Misri.
Piramidi hizi ni mabaki ya eneo kubwa la makaburi ya enzi za Misri ya Kale. Wafalme na maafisa wa juu walizikwa hapa.
Piramidi za Giza zahesabiwa kati ya maajabu ya dunia ya kale.
Piramidi tatu kubwa zaitwa kufuatana na mafarao au wafalme wa Misri waliozikwa ndani yao: piramidi za Cheops, Khefren na Mykerinos.
| Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Piramidi za Giza kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Viungo vya Nje [hariri]
- Webcam ya piramidi
- Wiki Satellite view of Giza Plateau at WikiMapia
- 3D model of the pyramids for use in Google Earth
- Pyramid Photographs on GlobalAmity.net
- Aerial view of Giza pyramids at Windows Live Local
- digital.egypt - QTVR fullscreen panoramas on Giza Plateau
- Pyramids in Giza Pictures of Giza Pyramids published under Creative Commons License