Paulo wa Verdun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Paulo wa Verdun.

Paulo wa Verdun, O.S.B. (576 - Verdun, Galia Kaskazini, leo Ufaransa, 8 Februari 648) alikuwa askofu wa 13 wa mji huo kuanzia mwaka 626[1] au 630[2], akijitahidi kustawisha liturujia na maisha ya pamoja ya wakanoni.

Kabla ya hapo alifanya kazi ikulu halafu akaishi kama mkaapweke, mmonaki na hatimaye abati[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[3][4][5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/40060
  2. 2.0 2.1 Matthew Bunson and Margaret Bunson. Our Sunday Visitor's Encyclopedia of Saints. Second Edition. Our Sunday Visitor, 2014. p. 651.
  3. Martyrologium Romanum
  4. February. Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome.
  5. Katherine I. Rabenstein. "Paul of Verdun, OSB B (RM) Archived 2015-05-18 at the Wayback Machine." St. Patrick Catholic Church - Saint of the Day, 1998.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.