Matthias Joseph Isuja

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Matthias Joseph Isuja (14 Agosti 1929 - 13 Aprili 2016) alikuwa askofu Mkatoliki nchini Tanzania.

Aliwekwa wakfu na Kardinali Laurean Rugambwa mwaka 1972.

Tangu mwaka huo hadi 2005, alipostaafu, alikuwa askofu wa Jimbo la Dodoma.

Kwa asili, Askofu Isuja ni Mrangi aliyetokea Haubi.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.