Jimbo Katoliki la Dodoma
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jimbo katoliki la Dodoma (kwa Kilatini Dioecesis Dodomaensis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Dar-es-Salaam.
Askofu wake ni Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga.
Yaliyomo |
Historia[hariri]
- 1935: Kuanzishwa kwa Apostolic Prefecture ya Dodoma kutokana na Apostolic Vicariate ya Bagamoyo
- 1951: Kupandishwa cheo kuwa Apostolic Vicariate ya Dodoma
- 1953: Kufanywa dayosisi
Uongozi[hariri]
- Maaskofu wa Dodoma
- Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga (since 2011)
- Jude Thadaeus Ruwa’ichi OFMCap (2005 – 2010)
- Matthias Joseph Isuja (1972 – 2005)
- Anthony Jeremiah Pesce CP (1953 – 1971)
- Vicar Apostolic wa Dodoma
- Anthony Jeremiah Pesce CP (1951 – 1953)
- Prefect Apostolic wa Dodoma
- Padri Stanislao dell’Addolorata CP (1937 – 1941)
Takwimu[hariri]
Eneo ni la kilometa mraba 41,311, ambapo kati ya wakazi 1,908,000 (2006) Wakatoliki ni 398,000 (20.9%).