Maimbodo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maimbodo (kwa Kifaransa: Maimboeuf; alifariki Dampierre, karibu na Besançon, Burgundy, katika Ufaransa wa leo, karne ya 9 hivi) alikuwa Mkristo mkaapweke wa Ireland aliyekwenda kuhiji patakatifu mbalimbali pa barani Ulaya hadi alipouawa na majambazi[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 24 Novemba 1900[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Januari[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Bibliotheca hagiographica latina, vol. II (1901), p. 768.
  2. Philippe Ruoillard, BSS, vol. VIII (1966), col. 562.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/38540
  4. Index ac status causarum (1999), pp. 452, 457.
  5. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.