Augustino Erlandsson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Augustino Erlandssön (kwa Kinorwei Øystein Erlendsson; kwa Kilatini Augustinus Nidrosiensis; Verdal, Nord-Trøndelag, 1120 hivi - Trondheim, Norwei, 26 Januari 1188) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 1161; alitetea kwa bidii Kanisa lake dhidi ya watawala wa nchi, akalistawisha kwa juhudi kubwa[1].

Kwa ajili hiyo alipelekwa uhamishoni Uingereza, lakini baadaye aliweza kurudi jimboni.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Gunnes, Erik Erkebiskop Øystein, statsmann og kirkebygger (Oslo: 1996) ISBN|82-03-22144-0
  • Vandvik, Eirik Erkebiskop Eystein som politikar (Trondheim: 1961)
  • Bagge, Sverre Mennesket i middelalderens Norge (forlaget Aschehoug, Oslo: 2005) ISBN|82-03-23282-5

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.